Strip club view Photo: Courtesy As about 12 Nairobi clubs open up to the pole-dancing strip dance entertainment, the local showbiz scene is getting heated once again as male patrons start burning their passions in clubs over the semi nude dancers, some of whom are willing to give more In this tiny and popular Nairobi downtown club, a pornography video plays on the 40-inch plasma screen as six strippers prepare to pounce. This is not your ordinary entertainment. And what you are about to experience is not meant for the faint hearted. So we sip the shots of hard liquor, trying to unnerve. It is but a moment for men. As the clock strikes 11pm, six strippers dressed in bikinis emerge and starts to tantalise the male dominated crowd with their erotic dances. They are literary taking on the strip pole and the men to whom they lap dance with cheers and ogling eyes betraying their provoked sensual emotions.See also: Age is nothing but a number but should the bride price vary? One of the stripers, whose name we later come to find is Suzzi, climbs the pole with attitude. She spanks the pole and whips her long hair as she slides down, her head facing down as she gyrates ingeniously. Another one is also head fast on a table, her legs spinning around a client’s neck. Things are heating up in here! We order for another double of tequila. And another… The patrons are getting real carried away and asking the girls to reveal more as they start tipping them, some throwing in Sh1,000 notes. And one by one, they remove their bikinis and are left with red G-strings. Two of them actually goes totally nude and invites men to dance with them. And here are condom packs getting placed on the dimly lit tables. Whatever happens here remains here. At around 2am, we head to Pango, the Moi Avenue situated Florida 3 club that introduced the strip tease dance to Nairobians.
And here, with a more elite crowd of patrons partying the night away, four strip tease models keep the entertainment coming. Now this looks like serious business. It is a lucrative venture for the strippers who keep collecting huge tips from the clients. You get a lap dance at your will, and even much more if you negotiate well. Gone are the days when strip clubs were regarded as a downtown affair of the less elite. Pango’s clients are millionaire business merchants, top CEO’s and showbiz celebrities who trust the privacy at the venue they now prefer to unwind at. It is a six nights affair weekly affair complete with a choreographer who trains the ten girls in her team. They work in alternate nights. This is what they do for a living. On a good night, a stripper can make up to Sh10,000, even Sh20,000 depending on the clients who visit, some of whom are foreigners, tourists willing to part with the dollar for some little gyrating sexy treatment. That is besides the monthly pay of about Sh20,000 the girls are paid by the club owners. “Many people don’t view this as clean entertainment through which we make a living. They think it is indecent and immoral. But we view it as a job, just like any other form of entertainment. We respect the trade,” one of the strip dancers who gives her name as Njoki informs adding that she pays all her bills through strip dancing.
Loading...
Home » Archives for May 2014
HAYA NDO MAWAZO YA WANAWAKE WENGI BAADA YA KUMALIZA KUFANYA MAPENZI...soma hapa ujuzwe
1. “Itakuwaje kama ntakuwa na mimba?”
Mara nyingi unapoanza kuingia kwenye purukushani zilee, akili huwa inahusishwa kwa asilimia chache sana, ila kinachokuwa nafasi ni hisia za mwili, ila shere linaanza pale kila mmoja anapomaliza, mara wapenzi wengi hujisahau kutumia hata kinga na mwisho wa siku kuanza kuwa na mawazo mengi na kuhofia, labda wanaweza kuwa wameshika mimba teyari bila hata kupanga.
2. “Oh my goodness ulikuwa vizur!”
Sentensi hii hutamkwa hasa mnapomaliza zile shughuli, wapenzi wengi waliozoeana huwa wanakuwa wazi kuambiana na kusifiana kihivi, ila mara chache utakuta mwanamke huwaza tu na kumkuta akicheka kila mara.
3. “najichukia sana”
Kwa mwanamke asilimia kubwa, kama ulimlazimisha kufanya mapenzi, kwa kumrubuni au ilimbidi tu kufanya hivyo kwa sababu ya shida, wanaume wengi hutumia mwanya huo kama njia za kulipia mema wanayowafanyia wanawake, hapa unakuta mwanamke hakuridhia ila inambidi tu, na mwisho wa siku utakuta anafikia mahali, anajichukia mwenyewe kwa vitendo alivyofanya, tena pale tu amalizapo.
4. “nahisi ntapata mimba”
Asilimia kubwa hutokea kwa wanawake ambao wanajaribu kupata mtoto mara kwa mara, inafikia kipindi ambacho wanakata tamaa kabisa, hadi kufikia kudhani kuwa hawawezi kupata mtoto, wengi wao huangaika hadi kwa waganga kufikiria jinsi ya kupata watoto.
5. je unaeendelea tena?
Wanasayansi wanadai kuwa, kila mwanamke ana muda wake anaochukua kuweza kumfikisha kileleni, hapo utakuta, kama umezoea wale wa nunu saa na unadhani umeshamaliza kazi, kumbe mwenzako ndio kwanza anaanza, hapa asilimia kubwa ya wanawake huanza kuuliza mapema, kama upo fiti kwa raundi nyingine , ili kuweza kufika pale anapotaka.Kuna aina nyingine ya wanawake huona aibu kuulizia, kwa hiyo hujikuta wanatamani sana kuendeleza game, hivyo ni bora kumsoma vizuri mpenzi wako.
6. “nahisi nlikuwa vizur kwako”
Asilimia kubwa ya wanawake hutokea kutojiamini, na hivyo kujikuta kufanya kila kitu wakati wa ku-doo, bila hata ya kuuliza na kumsoma vizuri mpenzi wake, hivyo anakuwa anajawa na mawazo na kujiuliza kama amemridhisha au la. Na wengi wao huogopa kutamka na kumwuliza mpenzi wake, hii yote husababishwa na kutokujiamini tu.
7. “nafikiria kama unaukimwi au laa”
Hasa kwa wale wanaopenda kuchepuka, mara nyingi mchepuo hutokea kama zali vile, na mfukoni unakuta hamna kinga na mmeshakubaliana,mpo ndani teyari, hivyo mara nyingi watu hutokea kwa mtu ambaye hujamjua kivile na mmekutana tu kuchora 69 kwenye kitanda, hapo utata ni baadae, mawazo kila ukigeuka, kuanza kuwaza kama ntakuwa nimeukanyaka au.
DUU NI SHIDA HII NDIYO NIGHT CLUB AMBAYO WASICHANA WANACHEZA UCHI NCHINI KENYA,ITAZAME HAPA..
MAMBO SASA LIVE, BINTI MDOGO ANAYE SAGANA NA MASTAA WA BONGO MOVIE avujisha siri na picha zote jione hapa..ni shidaaaaah
“Siwezi
kumwacha, nikimwacha ntakufa” ni maneno makali kutoka kwa binti mdogo
wa 1992 ambae amekiri kua yuko kwenye mahusiano
sasa na binti mwenzake.
Chanzo cha habari kutoka ndani ya familia ya binti huyu (ambae jina tunalo) mkazi wa Arusha kinasema kua amekua akiaga nyumbani anakuja Dar Es Salaam kwa dada yake na kumbe anaishia kuwekwa kinyumba na msanii maarufu wa bongo movie ambae ameshutumiwa mara kadhaa na vyombo vya habari kua ni msagaji lakini hupinga swala hilo kwa macho makavu yasiyo na aibu.
Chanzo cha habari kutoka ndani ya familia ya binti huyu (ambae jina tunalo) mkazi wa Arusha kinasema kua amekua akiaga nyumbani anakuja Dar Es Salaam kwa dada yake na kumbe anaishia kuwekwa kinyumba na msanii maarufu wa bongo movie ambae ameshutumiwa mara kadhaa na vyombo vya habari kua ni msagaji lakini hupinga swala hilo kwa macho makavu yasiyo na aibu.
VIDEO ALIYOVUJISHA TAFADHALI WANAO RUHUSIWA KUTZAMA NI WATU WAZIMA TU
KUANZIA MIAKA 18 NAKUENDELA
KUITAZAMA B0NYEZA HAPA CHINI FASTAA NOMA SANA
KUANZIA MIAKA 18 NAKUENDELA
KUITAZAMA B0NYEZA HAPA CHINI FASTAA NOMA SANA

LAANA 18+: WAFUMANIWA WAKIRIKODI FILAMU YA NG*NO LIVE.....NI NOUMA SANAAA...
Tukisema dunia imekwisha watu hawaamini, mimi ninadhani ni wakati wakumgeukia Mungu sasa. Vijana hawo juu wamekamatwa kwa kosa la kufanya mapenzi wote wakiwa chumba kimoja
na wasichana wao.Najua msomaji utashituka sana kwamba kwani kosa ni nini hapo, ila kwa wale wanajua sheria vizuri nadhani watajua kwamba hil ni kosa la jinai.
Taarifa zinasema baada ya watu kujua upuuzi
uliokuwa unafanywa na wanaume hao wakliwa na wapenzi wao wote wakira
uroda kwenye chumba kimoja, msamalia mwema alikwenda polisi kutoa
taarifa na mara maaskari walikuja na kuwakuta vijana ndani ya mambo kitu
roho inapenda(UTAMU KUNOGA).
Kwa sasa vijana hawa wanashikiliwa na polisi tayari kwa kufikishwa mahakamani kujibu shitaka hilo.
Miongoni mwa vijana hawo ambao mmoja wapo ameweza kutambuliwa kwa jina ni Jesse Orowo Omokoh raia wanigeria
Hapa wanavishwa pingu kama ishara ya kufahidi uhondo wakufanya mapenzi chumba kimoja.
DAAH HII NI ZAIDI YA LAANA MSANII WA KENYA *AVRIL* ANASWA AKIFANYA UCHAFU KUSA**NA...TAZAMA LIVE PICHA HAPA.....!!!!!!!
The 'Kitu Kimoja' hit singer Avril Nyambura made news after her unclad pictures circulated on the internet. The artist was not as popular as she is now.
Many believe that she leaked them in a bid to create publicity. Avril claimed that the images were photoshopped by a malicious individual.
At the time, the musician was involved in a fling with Dj Crème de la crème who was engaged to his beautiful fiancée.
If you didn't get a chance to see the famous pictures, here they are:




Laana **VIDEO****Mzungu matatani kwa kumlazimisha hausigeli wake kula URODA na mbwa wake huko Tabata..!!
KHAA! Katika hali ya kushangaza, dada wa kazi za nyumbani (hausigeli) mkazi wa Tabata jijini Dar aliyetambulika kwa jina moja la Aneth, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kudai kuwa bosi wake ambaye ni Mzungu amemlazimisha kufanya mapenzi na mbwa wake.
Mzungu huyo ambaye jina tunalihifadhi, alidaiwa kufanya tukio hilo la kinyama Mei 26, mwaka huu na inadaiwa Aneth alipomkatalia, alimtimua nyumbani hapo kwa kumtupia virago.
Chanzo makini kilidai kuwa, baada ya kutupiwa virago bila kupewa mshahara wake sambamba na kipigo, Aneth aliripoti tukio hilo katika Kituo Kidogo cha Polisi cha Tabata, Dar na muda mfupi polisi walifika nyumbani hapo lakini Mzungu huyo hakutoka ndani, akakataa kuzungumza chochote.
Taarifa zilidai kuwa, baada ya polisi kukutana na kizingiti hicho, walimpigia simu kiongozi wao ambaye aliwaamuru warudi kituoni wajipange upya.
“Kuna jirani mmoja alipiga simu tena kituo cha polisi alipoona hali ya hewa imechafuka ndipo polisi wakafika kwa mara nyingine na difenda na kufanikiwa kuingia ndani kwa kutumia geti kubwa, walipofika walikuta milango imefungwa lakini ilisemekana aliruka ukuta na kutimkia kusikojulikana.
“Polisi waliniambia nimpigie simu ajisalimishe lakini nilipompigia alisema hayupo na kama tunamhitaji tukutane sehemu huku na yeye akiwa na polisi wake,” kilisema chanzo.
Akisimulia zaidi maisha anayoishi na Mzungu huyo, Aneth alisema: “Alikuwa akinitafutia sababu za kunitimua kwani hivi karibuni kwa bahati mbaya nilipoteza ufunguo wa ndani, akanipiga mateke na kunisababishia maumivu makali mwilini kiasi cha kushindwa kutembea.
“Lakini lililoniuma zaidi ni hili la kunilazimisha eti nifanye mapenzi na mbwa wake, amekuwa akifanya hivyo mara kwa mara mimi nikaona siyo sawa na nilipokataa ndipo yakanikuta hayo.”Aneth aliripoti matukio hayo katika Kituo Kidogo cha Polisi Tabata na kupewa fomu ya matibabu (PF-3) sambamba na kufunguliwa jalada la kesi namba TBT/RB/3132/2014/ SHAMBULIO na jalada la uchunguzi lenye namba TBT/IR/1829/2014/UCHUNGUZI.
VIDEO HAPO CHINI
AMAKWELI MFICHA MAOVU MAUTI UMUUMBUA..SIRI NZITO YAIBUKA YA KIFO CHA RECHO.
Maskini! Wakati tasnia ya filamu Bongo ikiwa katika majonzi ya kuondokewa na ‘dairekta’ na mwigizaji mkubwa, Adam Phillip Kuambiana (38), pigo lingine limetokea kwa wasanii hao kwa kuondokewa na kichwa kingine, Sheila Haule ‘Recho’ (26).Recho alikutwa na umauti Mei 26, mwaka huu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar alipokuwa amelazwa baada ya kujifungua kwa oparesheni Mei 25, mwaka huu kwenye Hospitali ya Lugalo, Dar.
KUJIFUNGUA
Kwa mujibu wa chanzo makini kilichokuwepo kwenye Hospitali ya Lugalo, Recho alikuwa akisumbuliwa na tatizo la presha ya kupanda, kisukari na kifafa cha mimba.
Chanzo hicho kilieleza kuwa, kwa zaidi ya saa 23 tangu afikishwe hospitalini hapo, Recho aliteseka kwani madaktari walikuwa wakihangaika kuishusha presha ili kuweza kunusuru uhai wake hivyo staa huyo alipigania uhai wake kwa masikitiko makubwa.
“Tulipomfikisha alifanyiwa vipimo, ikagundulika ana tatizo la presha na kisukari na hata alipojifungua alipata kifafa cha mimba ndipo hali ilipozidi kuwa mbaya,” kilisema chanzo hicho kilichoomba hifadhi ya jina.
UTABIRI WA KUAMBIANA
Chanzo hicho kilizidi kueleza kuwa, pamoja na jitihada za madaktari kuhakikisha wanaokoa maisha ya mwigizaji huyo na mwanaye, walifanikiwa kumfanyia oparesheni, mtoto wa kiume akatoka salama lakini muda mchache baadaye alifariki dunia huku Recho akiwa katika hali mbaya.
Kwenye gazeti la Amani lililopita toleo namba 814 la Mei 22, mwaka huu, kulikuwa na habari iliyomhusu Recho juu ya marehemu Kuambiana aliyemtabiria kuwa atajifungua mtoto wa kiume iliyokuwa na kichwa cha habari kilichosomeka: “Kuambiana alimtabiria mtoto Recho”.
Katika habari hiyo, Recho alieleza namna alivyokutana na Kuambiana na kumtabiria kuwa atajifungua mtoto wa kikume, kweli ikatimia kwani alijifungua mtoto huyo lakini bahati mbaya alifariki dunia hivyo kuacha huzuni kubwa.
Utabiri huo ulipotimia Jumapili iliyopita, uliibua simanzi nzito kwa baadhi ya wasanii hasa baada ya mtoto kufariki dunia huku wengi wao wakikumbuka utabiri alioutoa Kuambiana.
KUHAMISHIWA MUHIMBILI
Baada ya madaktari wa Lugalo kuona tatizo linazidi, Jumatatu iliyopita walilazimika kumhamisha Recho katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambapo alilazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU).
“Ilibidi apewe ‘transfer’ ya kwenda Muhimbili kwani hali yake haikuwa nzuri hasa baada ya kujifungua na kupata kifafa cha mimba, akalazwa ICU,” kilisema chanzo hicho.
MADAKTARI WAMFICHA MCHUMBA’KE
Taarifa kutoka Muhimbili zilidai kwamba baada ya kuona umati wa wasanii wa Bongo Movies usiku hospitalini hapo, madaktari walilazimika kumficha mchumba wake, George Saguda pamoja na wasanii wengine kwani walitambua pigo walilolipata hivi karibuni kwa kuondokewa na mwigizaji Kuambiana.
“Waliona watawaongezea majonzi kwa kuwapa taarifa za msiba hivyo wakalazimika kuwaficha hadi Jumanne asubuhi ndipo wakatoa taarifa za kifo,” alisema nesi mmoja wa Muhimbili bila kutaja jina.
Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa Recho na shosti yake kipenzi, Jennifer Kyaka ‘Odama’ wawili hao walikuwa watu wa karibu mno.
Ilielezwa kwamba Recho na Odama walikuwa wakishirikiana kwa kila jambo hivyo atakuwa amebaki na siri nzito Recho.
“Marehemu amemuachia siri nzito sana Odama, walikuwa wakishirikiana katika kila kitu na kutunziana siri nyingi nje ya kazi ya sanaa,” kilisema chanzo hicho.
Recho alilelewa na bibi yake baada ya kufiwa na wazazi wake wote hivyo mipango ya kumsafirisha marehemu iliendelea kufanyika juzi Jumanne ambapo wasanii walitarajia kuchangisha shilingi milioni kumi kufanikisha shughuli ya kuaga, majeneza (mama na mtoto) na kusafarisha msiba kwenda nyumbani kwao Songea, leo Alhamisi.
Mpaka Recho anapatwa na umauti, alikuwa akijulikana zaidi kwa jina la Rachel Haule lakini kwa mujibu wa mama yake mdogo ambaye jina halikupatikana, marehemu alibatizwa kwa jina la Sheila Haule.
Recho aliyezaliwa 1988, aliingia kwenye fani ya uigizaji mwaka 2009. Baadhi ya filamu alizocheza ni pamoja na Loreen, Unpredictable, Danger Zone, Men’s Day Out, Vanessa (yak wake mwenyewe na nyingine. Fuata makala ukurasa wa 9. Sisi wote tu mavumbi, mavumbini tutarejea. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina.
Filed Under:
BONGO,
BONGO MOVIES,
WASANII
HUU NDO UKWELI WA MAMBO KATI YA JACKLINE WOLPER NA RAPPER HIT NEY WA MITEGO**wolper afunguka**

Jackline Wolper amefunguka kuhusiana na moja ya shutuma zinazoendelea
kumkabili kila anapoamka. Mdada huyo mwenye kujituma sana amefunguka
kuhusu shutuma za kumuhusisha yeye na msanii mkali wa Hiphop , Ney wa
Mitego. Mwanadada huyo akiongea na Vibe Tanzania alidai hajawahi kuwa
hata na number ya Ney wa Mitego sasa akisikia kwamba ana mahusiano na
mwana Hiphop huyo anashangaa sana kwani hata hajui maana halisi ya
kuzagaa kwa maneno hayo yasiyo na maana wala source.
Wolper aliendelea kufunguka kwamba hayuko tayari kusikia uzushi huu
ukiendelea na wala hatowaacha wanaosambaza umbea huu kwani hajui nia
yao. Msanii huyo amekua akiandamwa na romours moja baada ya nyingine
kwani alipewa scandalz ya kusagana kabla haijapotea imeingia ya Ney wa
Mitego huku Wolper huyo huyo akihusiswa kuwa na mahusiano na G model.
Vibe
Filed Under:
BONGO,
BONGO MOVIES,
WASANII
TAZAMA PICHA ZA UTUPU ZA MSICHANA HUYO...DEN COMMENT KAMA ELIMU INAITAJIKA AMA LA...MAANA NI SHIDAAAAH..
TAARIFA YA JESHI LA POLISI:::NGOMA ZA BAIKOKO, KANGAMOKO NA VIGODORO ZA PIGWA MARUFUKU DAR ES SALAAM KUTOKANA NA KUCHANGIA MAADILI KUVUNJIKA...

Jeshi
la polisi kanda maalumu ya Dar es salaam limepiga marufuku ngoma za kitamaduni
ambazo zimekuwa zikifanyika nyakati za
usiku kwenye maeneo mbalimbali Dar es salaam ikiwa ni muendelezo wa kukabiliana
makundi ya kihalifu ambayo yamekua tishio kwa usalama wa raia.
Kufuatia
kuibuka kwa makundi ya kihalifu kama Panya road na Mbwa mwitu ambayo wengi wao
wanahusishwa na ngoma hiyo kwenye uporaji na upigaji wa watu, Kamanda wa polisi
kanda maalumu ya Dar es salaam Suleiman Kova anasema ‘ni marufuku kwa ngoma
yeyote ya asili kuchezwa nyakati za usiku’
Kamanda
Kova anasema kufuatia operesheni inayoendeshwa dhidi ya vikundi hivyo vya
kihalifu, mpaka sasa tayari wanawashikilia wafuasi zaidi ya mia moja ambapo pia
watu wengi wamekuwa wakilalamikia vitendo viovu vinavyofanyika nyakati za usiku
wakati wa ngoma hizo maarufu kama ‘vigodoro’ pamoja ‘baikoko’ na sasa jeshi la
polisi limetoa onyo kali kwa watakaoendeleza hizi ngoma kuanzia sasa.
Filed Under:
UDAKU
HIZI NDIZO STRESS ZA WASANII WABONGO LAZIMA UKAE...
Kati ya vitu ambavyo kwa msanii wa hapa bongo anavyojali most,miongoni mwao ni ku-maintain status yao ya u-superstar,na moja kati ya vitu anavyotakiwa kufanya mtu kama star ni kufanya vitu tofauti kabisa na mtu wa kawaida . Kwa bongo muziki umekua ukianza kulipa na pale msanii anapopata pesa hivi ndio vitu ambayo msanii wa kibongo hupata stress from:-
usafiri ,Wasanii wa bongo huumiza vichwa wanunue gari gani ili wawe kama msanii fulani au waongeze status yao. Kwa wale wasanii wadogo stress zikizidi baadhi Yao hudiriki hata kukodisha magari ya Watu na kulipa kila mwisho wa mwezi,ili tu wasionekane wakipanda daladala,tu naweza kukubaliana kuwa si kila msanii hapa bongo anauwezo wakumiliki gari kutokana tu na mauzo ya Kazi zake,cause hata underground aliyetoka na ku-hit na nyimbo moja redioni utakuta naye anahangaika na Mishe za kutaka ku-maintain status.
Mavazi , Usishangae kuona hata Nguo Watu wanagongea katika harakati tu za kuonekana unique,cause am sure si kila celeb hapa town anauwezo waku-change dress code kila siku,and Kati ya vitu ambavyo vinaongeza stress zaidi ni ujio wa instagram,social network ambayo kila celeb huwa anajitahidi ku-update Picha Yake bila ya kuonekana Kama Amerudia Nguo,cause fans lazima waliongelee Hilo, hivyo kutengeneza story mpya ya town ambayo is nzuri kWa mtu maarufu.
Nyumba, Siku za karibuni tumeona wasanii kibao wakionesha nyumba zao walizojenga na hili swala linatokana na stress wanazozipata pale wanapoona wasanii wengine wanajenga nyumba na wengine sio moja tu bali zaidi ya moja. Kwa siku za kaaribuni wasanii wengi wameonesha nyumba zao walizojenga kwa mfano linah , young D , Barnaba na Diamond. Muziki kwa sasa unalipa na hii stress ya nyumba itazidi kuongeneza kadiri siku zinavyoendelea.
Miili Mizuri , Hiki ni kitu kikubwa na kigumu kwa wasanii wengi. Msanii ni kioo na hamna msanii anayependa kuonekana akiwa na umbo baya kwahiyo wengi siku hizi hutumia muda wao kwenda gym kuweka miili yao sawa huku wengine wakiwa na personal trainers kabisa.
DISCLAIMER
Mtandao huu wa UTAMU CLASIC Unapenda Kuainisha kwamba haujashiriki kwa Namna yeyote katika Upigaji wa Picha hizi na Hautahusika kwa Namna Yeyote Ile Juu ya Malalamiko ya Aina yoyote Ile kuhusu Uchapishaji wa Habari Hii. Ingawa Tunapaenda kutoa Fursa kwa Yeyote Ambaye atakuwa amekerwa na Habari hii kutuandikia Malalamiko yake kupitia Barua pepe utamuclasic@gmail.com Nasi tutachukua Hatua stahili. Ahsante