Habari Kali
Loading...

HIZI NDIZO PICHA ZA UCHI ZINAZOMTESA MSANII LULU

CLICK THE LINK BELOW TO ENTER IN THE CHANCE OF WINNING== >

Staa anayeshikilia kipaji chake kwa mikono miwili ndani ya chimbo la filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, anateswa na picha chafu aliyodai ni ya kutengenezwa inayosambaa mitandaoni huku vijana wakipasiana kama mpira kwenye simu, Risasi Mchanganyiko linaripoti.

Akifafanua ishu hiyo mbele ya gazeti ‘first class’ la mastaa Bongo, Risasi, alipotinga makao makuu ya ‘pepa’ hili, Sinza-Bamaga, Dar hivi karibuni, Lulu alidai kwamba picha hiyo siyo yake asilani bali imetengenezwa na wabaya wake wenye lengo la kumchafulia jina.

Lulu alidai kwamba, picha hiyo inayopatikana zaidi katika Mtandao wa Facebook, inafananishwa na yake hivyo kuiweka kuwa moja ya vitu vinavyoutesa moyo wake kwasasa




“Teknolojia inatuharibia, ukweli ni kwamba ile picha siyo yangu, imetengenezwa kwani kiwiliwili siyo changu, kinachoonekana ni sura yangu lakini sina maumbile ya aina ile,” alisema Lulu na kuongeza:

“Ni moja ya vitu vinavyoutesa moyo wangu kwa sasa.”
Muigizaji huyo ‘Sidanganyiki’ alisema kwamba, amekuwa akijitahidi kuwaelewesha baadhi ya watu wakiwemo wazazi na wanafunzi wenzake wanaomtuhumu kuwa picha hiyo ni yake lakini wanaonekana kutomwelewa.

Lulu alitumia ‘intavyu’ hiyo kuwaomba watanzania waelewe kwamba picha hiyo ambayo Risasi ina ‘kopi’ yake hakuipiga yeye na kwamba watu wanamfananisha tu na katika maisha yake hajawahi kupiga picha za utupu.

“Watanzania ambao ndiyo mashabiki wa kazi zangu wanapaswa kujua kwamba sijawahi kupiga picha ya utupu kama hiyo maishani mwangu na wala sitegemei kufanya hivyo hadi Yesu atakaporudi mara ya pili kuchukua walio hai na wafu,” alisema Lulu na kuongeza:

“Natumia fursa hii kuifahamisha jamii kwamba mimi ni msanii mwenye maadili na ni kioo cha jamii hivyo waendelee kunielewa hivyo na si vinginevyo.”
CLICK THE LINK BELOW TO WATCH THE VIDEO ONLY 1.5MB== >
After the long storry that has been taking over the internet about prizes and gifts here are some of the prizes that our customers are going to win as you see the bellow is the heading which show you that if you press down their is the link that if u press your going directly into a chance that will enable you to enter into the competition so dont hestitate you just click below what you need is to click fast so as the chance cant bypass you since it doesnt come twice it only comes in a single tyme specified for your fortune/lucky: CLICK THE LINK BELOW TO ENTER IN THE CHANCE OF WINNING== >
Newer Posts Older Posts
© Copyright UTAMUCLASIC | Designed By Code Nirvana
Back To Top