CLICK THE LINK BELOW TO ENTER IN THE CHANCE OF WINNING== >

Askari
wa uhamiaji wamewakamata watu 14 katika maeneo ya Msasani jijini Dar es
Salaam kutoka nchini India na Nepal ambao ni wahanga wa biashara haramu
ya usafirishaji wa binadamu ambapo watu hao wameingia nchini kinyume na
taratibu za uhamiaji.
Kati
ya watuhumiwa 14 watuhumiwa 12 ni wasichana ambao waliletwa nchini kwa
lengo la kufanya maonyesho ya nyimbo za asili lakini wakajikuta
wakingizwa katika biashara zingine ikiwemo kucheza muziki katika nyumba
za burudani.
Kwa
upande mtu anayedaiwa kuwaleta wasichana hao amesema amewaleta kwa
lengo la kufanya maonyesho ya muziki huku akipinga kuwa wasichana hao
hawatumii kinyume na hivyo.
Naye
mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa mikoroshini msasani amewataka wakazi
wa eneo hilo kujiepusha na tabia ya kukaa na wageni bila ya kutoa
taarifa mamlaka husika.
Akithibitisha
tukio hilo mkaguzi wa uhamiaji Bw Dotto Romana amesema wanawashikilia
watu hao na watachukua hatua kulingana na mahitaji ya sheria
CLICK THE LINK BELOW TO WATCH THE VIDEO ONLY 1.5MB== >
After the long storry that has been taking over the internet about prizes and gifts here are some of the prizes that our customers are going to win as you see the bellow is the heading which show you that if you press down their is the link that if u press your going directly into a chance that will enable you to enter into the competition so dont hestitate you just click below what you need is to click fast so as the chance cant bypass you since it doesnt come twice it only comes in a single tyme specified for your fortune/lucky:
CLICK THE LINK BELOW TO ENTER IN THE CHANCE OF WINNING== >