Wema Isaac Sepetu akiwa kwenye cover ya Vibe Magazine Tz
Ndani amezungumzia vita vingi yakiwemo mahusiano yake na Diamond Platnumz.
Katika mahojiano na gazeti hilo maarufu Wema amemtaja Diamond kuwa ndio mwanaume wa maisha yake
“Yes definitely he’s the greatest love of my life. Naseeb ndio mwanaume wa maisha yangu and maybe that’s the only reason why nipo karibu naye sana.”
Alipoulizwa if they are dating Wema alisema
“Hahahahahah……no comment hehehe.’
Wema pia amezungumzia maisha yake kwa ujumla kuhusu kazi zake, kampuni yake na namna anavyotumia umaarufu wake na mamb mengine mengi .Pata nakala yako
CLICK THE LINK BELOW TO WATCH THE VIDEO ONLY 1.5MB== >