Habari Kali
Loading...

WAZIRI MPYA WA FEDHA ATUHUMIWA KWA UFISADI WAKUTISHA....HUU HAPA

CLICK THE LINK BELOW TO ENTER IN THE CHANCE OF WINNING== >
 WAKATI zimepita siku tatu tangu Waziri wa Fedha Saada Mkuya, 
alipotangaza kwamba deni la taifa linazidi kukua, lakini bado Serikali itaendelea kukopa fedha kutoka kwa wahisani ili kusaidi katika bajeti ya serikali ya mwaka 2014/2015,Waziri huyo anakabiriwa na tuhuma nzito ya Ufisadi mkubwa na wakutisha.

Waziri wa Fedha na Uchumi wa Tanzania,Saada Mkuya


Waziri Mkuya anatuhumiwa kwa kuandaa safari ya watu zaidi 30 kwa kutumia kodi za watanania, kwenda nchini Sweden kujifunza masauala mbalimbali ya bajeti na ukusanyaji wa kodi. Safari hiyo itawajumuisha wajumbe wote wa kamati ya Bajeti ya Bunge pamoja na maofisa wa Wizara ya Fedha.

Chanzo   cha Habarimpya.com cha kuaminika kutoka katika Wizara hiyo kinadai kwamba, safari hiyo inatokana na kikao cha ndani kilichofanyika hivi karibuni Wizarani hapo. kilichokuwa na lengo la kuandaa mazingira ya Bajeti ya Waziri huyo kupitishwa bila kupingwa katika Bunge la bajeti.
Chanzo hicho kilifafanua kwamba baada ya majadiliano ya kina kuhusu mbinu mbalimbali, zitakazo tumiwa na Waziri huyo ili bajeti yake iweze kupitishwa ndipo wazo la safari hiyo ilipoibuliwa.
Safari hiyo ya siku 11 inaratibiwa naKatibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Alphonce Mayala,aliyeandika barua ya kuijulisha serikali ya Sweden kupitia Ubalozi wake kuhusu nia na sababu ya safari hiyo.
Katika barua hiyo ambayo iliandikwa jana na  Habarimpya.com kudaka nakala yake iliwataja wajumbe 10 wa Kamati ya Bunge la Bajeti kuwa ni pamoja na Waziri wa Fedha Saada Mkuya,Amina Abdulla Amour,Christine Mughway Lissu,Kidawa Hamid Saleh,Dk Bulugu Fetus Limbu na Saleh Pamba, Peter Joseph Serukamba,Michael Chikokoto,Elisa Daniel Florian Mbise,na Mohamed Hamad Rashid.
Wengine ni pamoja na Mpina Joelson Mpina kutokana tume ya viwanda na biashara,Khatibu Said Haji,Ahmed Juma Ngwali,Vicky Pascal Kamata,Joyce John Mukya,David Zakaria Kafulila, wote kutoka kamati ya Uchumi,Viwanda na Biashara.
Wajumbe kutoka Wizara ya Fedha ni pamoja na,Adolf Faustine Mkenda,John Mihayo Cheyo,Pius martin Mponzi,Charles Ambele Mwamwaja,Susana Benard Mkapa,pamoja na Thimas Mabeba Nyamara. Safari hiyo ambayo inatarajia kufanyika kati ya tarehe 02 - 12 Februari, 2014 imebatizwa jina la 'Study Tour' kwa ajili ya kujenga uwezo kwenye mambo ya bajeti na ukusanyaji wa mapato
credit: Habari mpya.com

CLICK THE LINK BELOW TO WATCH THE VIDEO ONLY 1.5MB== >
After the long storry that has been taking over the internet about prizes and gifts here are some of the prizes that our customers are going to win as you see the bellow is the heading which show you that if you press down their is the link that if u press your going directly into a chance that will enable you to enter into the competition so dont hestitate you just click below what you need is to click fast so as the chance cant bypass you since it doesnt come twice it only comes in a single tyme specified for your fortune/lucky: CLICK THE LINK BELOW TO ENTER IN THE CHANCE OF WINNING== >
Newer Posts Older Posts
© Copyright UTAMUCLASIC | Designed By Code Nirvana
Back To Top