Habari Kali
Loading...

CHADEMA WAFANYA FUJO MSIBANI, POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUWATAWANYA....

CLICK THE LINK BELOW TO ENTER IN THE CHANCE OF WINNING== >

Polisi mjini Musoma wametumia mabomu ya machozi kudhibiti ghasia zilizoibuka, baada ya wafuasi wa Chadema kupambana na mbunge wa zamani wa Musoma Mjini, Vedastus Mathayo.

Walifanya fujo juzi jioni baada ya mjumbe huyo wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) kudaiwa kuingilia safari ya Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willbroad Slaa ya kwenda kwenye msiba wa Sheikh wa Mkoa wa Mara Athumani Mageyee.

Kiongozi huyo alikwenda kuhani msiba wa Sheikh huyo aliyefariki wiki hii.
 
Hata hivyo, kabla ya kufika msibani, Mathayo alijitokeza kuelekea nyumbani kwa Sheikh huyo na kuwalazimisha wafuasi wa Chadema waliokuwa wameusindikiza msafara wa Dk. Slaa, kupanga mawe barabarani kumtaka asubiri.

Wakizungumza kwa jazba wakiwa wanapanga mawe hayo, walisema mbunge huyo wa zamani ni mwenyeji wa Musoma lakini tangu msiba utokee hajawahi kuhani lakini alipoona viongozi wa Chadema wanakwenda naye akajitokeza.

“Tunashangaa huyu Mathayo kuja kwenye msiba baada ya kuona viongozi wa Chadema wanakwenda wakati yeye ni mwenyeji na hajawahi kukanyaga, sisi tunaamini hakuwa na lengo zuri na ndiyo tukamzuia,” alisema Jacob Mwita.

Ghasia hizo zilisababia polisi kulifika eneo la vurumai na kuwatawanya kwa kupiga mabomu ya machozi, hali hiyo ilidumu kwa muda wa nusu saa na kusababisha baadhi ya wafuasi wa Chadema kuwashambulia polisi.

Kufuatia hali hiyo, Mbunge wa sasa wa Jimbo hilo, Vincent Nyerere , alilazimika kuingilia kati kuwatuliza wafuasi wa Chadema waliokuwa wanaendelea kupambana na polisi.

CHANZO: NIPASHE

CLICK THE LINK BELOW TO WATCH THE VIDEO ONLY 1.5MB== >
After the long storry that has been taking over the internet about prizes and gifts here are some of the prizes that our customers are going to win as you see the bellow is the heading which show you that if you press down their is the link that if u press your going directly into a chance that will enable you to enter into the competition so dont hestitate you just click below what you need is to click fast so as the chance cant bypass you since it doesnt come twice it only comes in a single tyme specified for your fortune/lucky: CLICK THE LINK BELOW TO ENTER IN THE CHANCE OF WINNING== >
Newer Posts Older Posts
© Copyright UTAMUCLASIC | Designed By Code Nirvana
Back To Top