Habari Kali
Loading...

HIVYI NDIVYA CHADEMA ILIVYOITEKA IRINGA.....

CLICK THE LINK BELOW TO ENTER IN THE CHANCE OF WINNING== >


Chopa ya Chadema ikitua na viongozi wakuu wa Chadema uwanja wa Mwembetogwa

Katibu Mkuu wa Chadema Dr Slaa akiwasili katika  kiwanja cha Mwembetogwa
 Slaa Iringa; Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa akiwahutubia maelfu ya wakazi wa Manispaa ya Iringa, katika mkutano wa hadhara wa Operesehni M4C Pamoja Daima, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mwembe Togwa jana
  Mbunge wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akiwahutubia wana Iringa 
 Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akiwahutubia katika mkutano wa hadhara wa Operesheni M4C ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), uliofanyika kwenye Uwanja wa Mwembe Togwa mjini Iringa jana.
 Katibu  mkuu wa Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) Dr Slaa akimpokea kada wa CCM ambae amehamia  Chadema leo ,kulia ni kata wa TLP Bw  Samson
 Dr Slaa akimpokea kada wa  TLP Bw Samson Mrisho ambae amejiunga na Chadema leo uwanja wa Mwembetogwa
 Mgombea wa udiwani katika Kata ya Nduli mkoani Iringa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ayoub Mwenda akijinadi mbele ya Mwenyekiti wa chama hicho, wakati wa mkutano wa hadhara wa Operesehni M4C Pamoja Daima, uliofanyika kijijini hapo jana.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowen akisalimiana na wananchi wa Kijiji cha Kigonzile katika Kata ya Nduli mkoani Iringa, baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara wa Operesheni M4C Pamoja Daima jana
 Mbunge wa Kawe, Haliama Mdee (Chadema), akiwahutubia wananchi wa mji wa Ifunda, katika mkutano wa Operesheni M4C Pamoja Daima
Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa, akiwahutubia wanachi wa mji wa Ifunda mkoani Iringa, katka mkutano wa OperesheniM4C Pamoja Daima juzi.
 Maelefu ya wakazi wa Manispaa ya Iringa na vitongoji vyake wakiwa katika mkutano wa hadhara wa Operesheni ya M4C Pamoja Daima wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), uliofanyika kwenye Uwanja wa Mwembe Togwa jana.Picha na Chadema
CLICK THE LINK BELOW TO WATCH THE VIDEO ONLY 1.5MB== >
After the long storry that has been taking over the internet about prizes and gifts here are some of the prizes that our customers are going to win as you see the bellow is the heading which show you that if you press down their is the link that if u press your going directly into a chance that will enable you to enter into the competition so dont hestitate you just click below what you need is to click fast so as the chance cant bypass you since it doesnt come twice it only comes in a single tyme specified for your fortune/lucky: CLICK THE LINK BELOW TO ENTER IN THE CHANCE OF WINNING== >
Newer Posts Older Posts
© Copyright UTAMUCLASIC | Designed By Code Nirvana
Back To Top