Habari Kali
Loading...

BONGO MOVIE KWAZUA UTATA SOMA KILICHOJIRI..

CLICK THE LINK BELOW TO ENTER IN THE CHANCE OF WINNING== >
 Na Hamida Hassan
BONGO Muvi kimenuka! Viongozi wapya wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ (mwenyekiti) na William Mtitu (katibu), wametofautiana kauli na kuanza kurushiana maneno mazito wakitaka kukunjana mbele ya wajumbe wa klabu hiyo.

Chanzo makini kilitonya kuwa, kilichosababisha kuibuka kwa ugomvi huo ni baada ya Steve Nyerere kutoa wazo la filamu inayoitwa Baba Chodo yenye lengo la kuingizia fedha ndani ya klabu hiyo na kiasi kidogo kubaki kwake kama mwanzilishi wa wazo.

“Unajua Steve alikopa fedha sehemu Sh. milioni 10 na akasema kuwa mwenye fedha anataka turudishe milioni 15 hivyo baada ya kuuza filamu hiyo kwenye Kampuni ya Proin Promotion ambayo inatarajia kuwalipa Sh. milioni 50.

“Kule walikokopa watarudisha milioni 15, milioni 5 watawapa wasanii watakaocheza kisha milioni 10 atachukua Steve Nyerere aliyetoa wazo na milioni 20 itaingia kwenye mfuko wa Bongo Movie ndipo mtiti ulipoibuka, Mtitu hakiridhia, akahoji,” kilisema chanzo hicho na kuongeza:

“Mtitu alimchana laivu Steve Nyerere kuwa ni mwizi na aliwahi kuiba fedha za klabu kipindi cha nyuma kabla hajawa mwenyekiti wa klabu. Hapo ndipo moto ukawaka zaidi.”

Sosi huyo alieleza kuwa, walipoanza kukwidana, Mkurugenzi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka aliwakalisha chini kisha akawasema kwa kugombana mbele ya wanachama wao, Mtitu akaomba msamaha kwa bosi wake.

“Huwezi amini pamoja na Mtitu kuomba msamaha kwa Steve Nyerere, Steve alimwambia hawezi kukaa naye meza moja wakaelewana kwa sababu ni mtu ambaye haelewi na hamalizagi mabifu,” alisema sosi huyo.
Baada ya habari hizo kutua kwa paparazi wetu, alimpigia Steve Nyerere kumuuliza undani wa sakata hilo ambapo alisema kuwa yeye hana tatizo na mtu lengo lake ni kusaidia klabu, walishamaliza na wapo kambini kuendelea kushuti muvi hiyo.
Kwa upande wake Mtitu alipotafutwa kuhusiana na sakata hilo, alikiri kutokea na kudai walishayamaliza ingawa hapendi kulizungumzia kwa undani suala hilo.

CREDIT : GPL
CLICK THE LINK BELOW TO WATCH THE VIDEO ONLY 1.5MB== >
After the long storry that has been taking over the internet about prizes and gifts here are some of the prizes that our customers are going to win as you see the bellow is the heading which show you that if you press down their is the link that if u press your going directly into a chance that will enable you to enter into the competition so dont hestitate you just click below what you need is to click fast so as the chance cant bypass you since it doesnt come twice it only comes in a single tyme specified for your fortune/lucky: CLICK THE LINK BELOW TO ENTER IN THE CHANCE OF WINNING== >
Newer Posts Older Posts
© Copyright UTAMUCLASIC | Designed By Code Nirvana
Back To Top